Posts

Showing posts from September, 2019

MAMBO 10 AMBAYO MWANAUME HUPENDA KUSIKIA TOKA KWA MPENZI WAKE.

Image
10. Kukosolewa – “I think you are wrong” 👉Wanaume wanaweza kujikweza sana lakini daima hawachukii kurekebishwa. 👉Wanachojali zaidi ni jinsi gani au njia gani imetumika kuwarekebisha. 👉Mwanaume akikosea, anataka mpenzi wake amkosea lakini kwa mapenzi, sio kwa mikwaruzano au dharau au mbele ya kadamnasi. Mrekebishe au mkemee faragha, toa maoni yako na wala usimlazimishe, itamfanya aone unajali na unataka kumjenga. 9. Kujali – “How was your day?” 👉Wanawake wengi hutaka wao tu ndio waulizwe kuhusu jinsi siku zao zilivyoenda kila siku, wanasahau kabisa hata wanaume nao walikua kwenye mihangaiko. 👉 Mzoeshe kumuuliza mpenzi wako siku yake ilikuwaje? utaona hata nuru ya mapenzi yenu itang’aa na mtakua marafiki, japo mwanzoni atakua hakuambii kila kitu lakini baada ya muda atazoea. 👉 Kila mtu anataka wa kumsikiliza, mtu atakayezungumza nae chochote kilichotokea ndani ya siku yake, na pengine kukuuliza ushauri. 8. Ucha Mungu – “Can we pray?” 👉Mwanaume, anayesali au k...

MAMBO AMBAYO WANAWAKE WENGI HUDANGANYA WANAPOINGIA KWENYE MAHUSIANO

Image
DARASA LA MAPENZI, [12.09.19 17:12] MAMBO AMBAYO WANAWAKE WENGI HUDANGANYA WANAPOINGIA KWENYE MAHUSIANO Najua sio raisi kukubali haya, lakini kuna aina ya wanawake ambao ni waongo sana, na hiyo inajulikana, hata kuwashinda wanaume ambao inajulikana wao ndo wajanja katika kudanganya kuliko wanawake, lakini leo tutaangalia vipengele ambavyo wanawake wengi huwa wanadanganya sana kama ifutavyo; Umri Wanawake wengi wanaamini wanaume wanavutiwa na wanawake wenye umri mdogo, wanawake walio na miaka kati ya 24-29 mara nyingi huwa wanashusha miaka 2 hadi 3 ili waonekane wadogo mbele ya wanaume. Kutokuwa na Mahusiano Baadhi wa wanawake, husema wapo kwenye mahusiano hata kama hawapo,hii inatokea hasa kama mwanamke hamtaki mwanaume aliemtokea wakati huo na kisingizio kikubwa ni yeye kuwa katika mahusiano na huu ni uongo mmoja maarufu sana na baadhi ya wanawake pia huwa wanaficha kama wapo kwenye mahusiano, hasa pale wanapotaka kuanzisha mahusiano mapya, huku wakiendelea kuwa na mahu...

JINSI YA KULAINISHA K YA MWANAMKE (Kumfanya Wet)

Image
Wanaume wengi huelewa kuwa kuna umuhimu wa kumuandaa mwanamke kwa kumshika shika maungo yake ya mwili lakini wengi hupuuzia suala hili kwa kuwa wao hamasa yao ya mapenzi huamka na mwili husisimka tayari kwa kuanza kushiriki tendo la ndoa mara tu baada ya kuona mwili wa mwanamke ukiwa mtupu. Wataalamu mbali mbali wa mapenzi wanabainisha ya kuwa wanaume wenye kutumia muda mwingi kumuandaa mwanamke huweza kujizuia kufika mshindo mapema na hivyo hudumu kifuani kwa muda mrefu na hata kufanikiwa mfikisha mwanamke kileleni zaidi ya mara moja. Hata hivyo muda wa kushikana shikana hutofautiana baina ya mwanamke na mwanamke, wanawake wengi husisimka kutokana na kushikwa matiti, matiti ya mwanamke mara nyingi ni yenye kusisimka sana endapo yatatomaswa vizuri kimahaba ama kwa kutumia mikono au mdomo kupekecha chuchu mithili ya mtu anayemung’unya pipi na wazimu ukianza mpanda ncha za matiti husisimka na kujitokeza yaani hudinda na hali hiyo hujitokeza sehemu zake za siri pia kwa mashavu ya k...

FAIDA ZA KUFANYA MAPENZI ASUBUHI

Image
👉 Husaidia kuweka mfumo wa kinga yako vizuri. 👉 Inaongeza hamu ya kufanya mapenzi zaidi. 👉 huimarisha kibofu cha mkojo kwa Wanawake. 👉 Hupunguza shinikizo la damu. 👉 Huhesabika kama moja ya Zoezi. 👉 Hupunguza hatari ya kupata shambulio la moyo. 👉 Hupunguza maumivu ya mwili. 👉 Inaweza kupunguza uwezekano wa kupata kansa ya tezi dume / Prostate Cancer. 👉 Inaboresha hali ya usingizi. 👉 Hupunguza Msongo wa Mawazo. 👉 Hufanya Misuli ya Uume kuwa Imara. 👉  Humfanya Mwanamke ashindwe kutoka nje ya Ndoa (cheating)

MWANAUME AMBAYE HAKUTAKI UTAMJUA KWA TABIA HIZI

Image
Kuna ishara nyingi ambazo ni vyema tukajifunza ili kuwa makini na kuchukua hatua pale unapoziona kwa mwanaume. Ni vigumu kukubaliana nazo lakini ukweli siku zote huwa unabaki palepale lazima tujifunze kama ifuatavyo: Kutokujali 👉Ukiona mwanaume ameacha kabisa kukujali. Tofauti na namna ambavyo alikuwa mwanzo kwamba atakuuliza umekula, upo wapi ujue kabisa mtu huyo ameshakutoa moyoni. Kwa mtu unayempenda haiwezekani vitu hivyo vikakata ghafla na vikadumu kwa muda mrefu. 👉Mwanaume anakaa wiki moja, mbili na hata mwezi mzima bila kukuuliza chochote, jiongeze na uanze kuchukua hatua za kumtoa moyoni. Kama mtu hakujali ni dhahiri hana mpango na wewe, utateseka bure kuendelea kumuwaza wakati yeye anafurahia maisha ya uhusiano na mtu mwingine. 👉Mwanaume alikuwa akikupigia simu kila wakati, akikutumia ujumbe kila wakati lakini ghafla ameacha na anakaa muda wa mwezi au miezi bila kukupigia wala kukutumia ujumbe wowote, huyo hakutaki. Yeye hawasiliani na wewe lakini wewe kila uchwao...

WANAWAKE WENYE HIPSI NA SHIDA WANAZOKABILIANA NAZO HIZI HAPA

Image
1. Kwa kuwa huwa wanavutia sana ni rahisi kurubuniwa kwani mwanamke yeye duniani hawezi kutongozwa watu elfu 2000 asimpende mmojawapo. 2. Hawana raha kwani ukodolewa sana macho na watu, si wanawake wala wanaume. 3. Upata magonjwa sana asa fungus kwani sehemu zao za siri hazipati hewa ya kutosha kufatana na kubanana kwa nyama na msuguano kila watembeapo. 4. Wana gharama sana kuwatunza kwa sababu hawatakiwi kutembea kwa muda mrefu kuogopa msuguana hivyo umuoapo ni lazima ughalimike usafiri au unatakiwa kumunulia skin taiti kila mara kwa kuwa zinahariibika muda mfupi sehemu ya mapaja.

WANAWAKE WENYE HIPSI NA SHIDA WANAZOKABILIANA NAZO HIZI HAPA

Image
Wanawake wengi wenye hips , ni wanawake ambao si kwa mwanaume tu hata kwa wanawake wenzie husifia kuwa fulani kajaliwa, ki maumbile, ni kweli wana mvuto wa pekee, humwagiwa sifa nyingi za urembo, lakini pia kwa upande mwingine wa shillingi ni matatizo tupu. SIFA: 1. Huwatesa sana wakina baba wanapokuwa katika vyombo vya usafiri kama daladala, treni, meli na ngalawa, mababa wengi hujawa na hisia kali za mahaba kiasi kwamba hupata mfadhaiko. 2. Hawana haraka sana kwani mwendo wao, hutembea kwa maringo, hata daladala likisimamia mbali hawawezi kukimbia kuwahi. 3. Hutongozwa wanaume watano kwa siku, hata wanaume wasiposema kitu angalau ukonyeza. 4. Ni wasikivu sana wakati wa kudate maana wengi ni warefu hupenda sana kukuinamia kusikia zaidi uliongealo.

Mbinu ya Kuzuia Kufika Kilele Mapema kwa WANAUME Tu

Image
Sababu ya tatizo hili huweza kuwa ya Kibaiolojia na Kiakili. Kama wewe pia ni moja yao na unapenda kujua jinsi ya zuia hali hii Jenga tabia ya kufanya mazoezi ya mwili: Mwili wenye afya nzuri daima hufanya kazi vizuri, kwahiyo kitu rahisi cha kufanya ni kujenga tabia ya kufanya mazoezi ambayo husaidia kukujengea afya njema na kukupa mzunguko mzuri wa damu. Kama una mwili wenye afya basi inaweza kukusaidia kwa namna ya kifikra ambazo huchangia kwenye swala zima la kuwahi kupizi. Hii hutokana na hutokana na kuongeza kujiamini na kujihusudu. Pumua vizuri na kikamilifu: Kiungo chochote cha mwili huhitaji nguvu kamili ili kufanya kazi na ndivyo ilivyo kwa habari ya viungo vya uzazi! Unapo pumua vizuri na kwa ukamilifu, kiungo hiki hupata nguvu za ziada. Mbinu mbalimbali za kupumua kama pranayama hujajwa kusaidia sana kujifunza jinsi ya kuzuia kupizi mapema. Baada ya kuinza tu (wakati wa tendo), jaribu kupumua kwa ufasaha ili mwili uweze kupata hisia kabla ya kuanza kufanya msuguano. ...

ZIJUE TABIA HIZI ZA MSICHANA ANAYEPENDA LAKINI HAWEZI KUSEMA.

Image
1. Atakutega kupata attention yako. Hufanya mambo ambayo yatamfanya kuona kama unampenda au lah! Mf wa mambo hayo ni kujifanya anaumwa na kuangalia respond yako kwake ni kiasi gani unamjali na kiasi gani utahangaika kwa ajili yake au 2. Haoni aibu kugusa sehemu yako ya mwili. Msichana anayependa haoni aibu kukushika mkono ama kukutomosa au hata kukumbatia. Kwa kufanya hivyo hujua kuwa kwa asilimia kubwa hisia za kushikana kwenu kutamrahisishia kazi ya kuwa na wewe 3. Kucheka kwa nguvu hata kwa kitu kisicho chekesha endapo wewe umezungumza. Mara nyingi ataonesha uso wa furaha hata kama si furaha ya kweli 4. Wivu. Hujisikia wivu anapokuona na wasichana wengine. Ukiwa unachart nao na ukiwaita majina ya kimahaba. Hapendi. 5 anakumbuka siku zako muhimu. Hukumbuka kama vile siku yako ya kuzaliwa hatowez kuisahau kufanya ipite bila kukutakia heri ya siku ya kuzaliwa kama sivyo ukifaulu mtihani au chochote katika maisha yako atakuwa mbele kukupongeza 6. Eye contact anapenda kuku...

MAMBO 11 AMBAYO MWANAUME ANATAKIWA KUYAFANYA ILI KUMRIDHISHA MWANAMKE NA KUJIHAKIKISHIA KUMMILIKI KABISA !!!

Image
DARASA LA MAPENZI, [06.07.19 13:15] MAMBO 11 AMBAYO MWANAUME ANATAKIWA KUYAFANYA ILI KUMRIDHISHA MWANAMKE NA KUJIHAKIKISHIA KUMMILIKI KABISA !!! Utangulizi Moja ya makosa makubwa ambayo yamekuwa yakifanywa na wanaume, ni kujifunza mbinu mbalimbali za kuwatomba wanawake zao wakidhania kuwa kujua namna na staili mbalimbali, ndio kunawafanya wanawake zao kufikia kileleni. Nasema ni makosa kwasababu, wakati mwanaume yeye anapokuwa na mwanamke akili yake mara nyingi huwa ni kutaka kumtomba hadi amkojoleshe, wanawake kwa upande wao, wameumbwa kutaka kuridhika na sio kukojoa tu. Na ndio maana, katika makala hii, hatutagusia mbinu za kutombana hadi umkojoleshe mwanamke, bali mambo ambayo wanawake wanayataka (wanataka kufanyiwa wakiwa kitandani), ili waweze kutosheka na raha wanazopewa na wenza wao. Inawezekana kabisa kuwa yapo mengi sana ambayo wanayataka, so haimaanishi kuwa nilichoandika hapa ndio iwe katiba yenu katika kutombana, bali ni mwongozo na ambao umegusia yale yaliyo ya mu...

SMS NZURI ZA MAHABA ZENYE KUMPA HISIA ZA FURAHA MPENZI WAKO.

Image
Siku zote kwangu ni sherehe ni wewe unishereheshaye,  ukweli usio na kejeli mapenzi yako yanatii kiu yangu, moyoni mwangu nimeridhia… Nakupenada daima mpenzi! **** Ahsante Mungu shukrani kwako mama, pongezi kwako mpenzi kuwa wangu mtetezi kwenye jahazi la mapenzi, ufundi na ujuzi unao hasa tuwapo wawili chumbani. Penzi lako halichakai daima huzaliwa jipya. ** Mapenzi ni upepo, mimi sivumi na kupotea, mapenzi ni mahaba sili nikamaliza, nikimaliza nitakula nini kesho? Nakuahidi kukupenda leo hata kesho ukiwepo na hata usipokuwepo. * Imara hautikisiki, kakamavu halishikiki penzi langu kwako ni nuru daima halizimiki. * Mapenzi si usanii ukiigiza utashindwa, mapenzi yanatoka moyoni wengi walioigiza walishatengana, mpenzi wangu usiniache. ** Mimi si mtume hakuna mwadamu aliyestahili usiniache nitajirekebisha na nitaongeza bidii.Naahidi kuwa mpenzi mpya na bora kwako na si bora mpenzi. *** Mpenzi usiende mbali nami, njoo ufaidi utamu usioisha hamu, nitakupa m...

FANYA HAYA 6 KUZUIA WATU WASIINGILIE MAPENZI YENU

Image
Sio mbaya kwa marafiki wa karibu au ndugu na jamaa kufahamu kushirikiana nanyi katika mapenzi yenu kama vile wakati wa sherehe au msiba. Pia sio mbaya kujuliana hali na kutambulisha mambo ya msingi yanayoendelea katika mahusiano yako wewe na mpenzi wako. Hata hivyo kuna wakati watu wengine wa pembeni, wawe majirani, ndugu, wazazi au marafiki wanaweza kuwa ‘sumu’ ya mahusiano yako, hasa pale unapowategemea sana kutoa msaada, maoni au maelekezo katika maisha yako ya mapenzi. Makala hii inaeleza mambo ya msingi unayoweza kufanya ili kupunguza uwezekano wa rafiki, ndugu, jamaa, au wazazi kuwa ‘sumu’ ya mapenzi yako. 1. Udhibiti wa taarifa kwa wengine: Kadri unavyoelezea mahusiano yako kwa watu wengine ndivyo unavyowapa nafasi watu kutoa maoni, na hata kudhani kuwa wana dhamana ya kukuelekeza unavyotakiwa kuishi na mwenza wako. Hivyo basi, chukua muda wa kutosha kutafakari na kufanya uchunguzi kuhusu maswala yako ya mahusiano kabla haujaanza kutafuta maoni, ushauri kwa watu wengine. Ni...

Hatua 7 Za Kufuata Iwapo Mpenzi Wako Anakataa Kujibu SMS Zako

Image
Tumetangulia awali kwa kuorodhesha baadhi ya mambo ambayo yanaweza kuwa yamechangia hadi mwanamke amekuacha. Na tukatoa baadhi ya sababu ni kuwa labda mwanamke huyu alikuwa hajakupenda ama amechoka na wewe. Pia tukaeleza kuwa inaweza kuwa tayari yuko na mwingine. Ingia hapa uzione sababu zote ambazo tulizieleza ambazo zinaweza kuwa chanzo cha mpenzi wako kutojibu jumbe zako. Kufikia sasa naamini sababu ushazijua. Je, bado una tamaa ya kurudiana naye? Je, mahusiano yenu baada ya kugundua sababu za yeye kutojibu jumbe zako yatadumu? Kama unaona umuhimu wa kuendelea uhusiano wenu basi endelea kusoma chapisho hili. Kama unaona hakuna umuhimu wa penzi lenu kuendelea basi itakubidi utafute mchumba mpya. Well. Hebu tujaribu uwezo wetu wa kuhakikisha kuwa mwanamke huyu anarudi nyuma na kuanza tena kukutumia jumbe. Hizi ni baadhi ya mbinu ambazo unapaswa kufuata ili kumfanya ajibu meseji zako bila kinyongo. Psss! Mbinu hizi zinaweza kutumika kwa aidha mwanaume ama mwanamke. #1 Ngojea k...

UKIINGIA KWENYE NDOA NA MWENYE SIFA HIZI, HUWEZI KUJUTA!

Image
Mara nyingi tunapofikiria namna ya kumpata mwenza sahihi, huwa tunaangalia ishu ya kumpata yule mwenye mapenzi ya dhati lakini kumjua anayekupenda kwa dhati, anayeweza kukupatia kile ulichokitarajia ni vigumu sana. Ndiyo maana hapa chini nimekupa vigezo saba vya mtu ambaye anakupenda kwa dhati na anafaa kuwa mwenza wako endapo mtakuwa tayari mmeshaanzisha uhusiano wa kawaida. MGUSO WA HISIA Hakika mapenzi ni mguso wa hisia, kwa maana hiyo kigezo kikuu cha kuzingatia kwa mtu anayestahili kuwa mwenzi wako wa ndoa ni vile ambavyo hisia zake umeziteka. Hali kadhalika na wewe mwenyewe ulivyotekwa naye. Amani na furaha vikitawala kati yenu unajiona upo huru kwa kila kitu na mnapokuwa hamuelewani kila kitu kwenye akili yako unaona hakiendi. Vivyo hivyo na yeye kwamba amani ipo pale mnaelewana na inatoweka mnapokosana. Huyo ni wazi mnaendana. KUTOSHEKA Ukiwa naye unajisikiaje? Umetosheka eeh? Akiwa mbali inakuaje, unahisi kuna upungufu mkubwa? Vipi na yeye anajiona hivyohivyo? ...

ZIJUE SABABU HIZI ZINAZOFANYA WANAWAKE WAVAE NUSU UCHI

Image
Wengi hudhani wanawake wengi wanaovaa nguo zinazoonesha sehemu kubwa ya mwili(nusu uchi) huwa wanajiuza. Ukweli ni kuwa hiyo ni sababu mojawapo. Wanawake wa kundi hili huvaa nguo zinazoonesha mapaja, kuta za matiti, mgongo au kitovu wakiamini huwavutia wanaume na watawatongoza na kufanya biashara yao ya ngono. Lakini kuna sababu KUU Sababu ni kuwa wengi huwa wanavaa vijinguo hivyo ili kuficha udhaifu wa maumbile yao. -Mathalani msichana huyo yeye mwenyewe akadhani na kuamini kuwa ana sura mbaya, hivyo suluhu yake ya kuficha udhaifu huo ni kuvaa nguo zinazoacha sehemu kubwa ya mwili wazi ili kutoa ujumbe kuwa "japo nina sura mbaya lakini miguu, tumbo, au matiti yangu mazuri". Lengo ni kuonesha kuwa japo ana sura mbaya lakini ana sehemu nyingine nzuri na zinazovutia. -Au labla binti mzuri wa sura na natural color, lakini hajaolewa. Naye anaweza kuvaa nusu uchi ili kuleta ujumbe kuwa "japo sijaolewa lakini mimi ni mzuri wa sura na viungo vyangu vingine" ili tu k...

JINSI YA KUTUMIA KONDOM YA KIKE

Image
Tumia kondom mpya kila mara unapofanya mapenzi. Kondom ya kike inaweza kuwekwa ndani ya uke mara tu kabla ya kufanya mapenzi, au hadi masaa 6 kabla ya kufanya mapenzi. Jitahidi kutokugusa sehemu za siri za mpenzi wako (au osha mikono yako) kabla ya kugusa sehemu zako za siri. Tazama paketi ya kondom ambayo bado haijafunguliwa. Hakikisha haijaharibika au kupasuka. Angalia tarehe ya mwisho ya matumizi ya kondom hii, ambayo itakuwa imechapishwa sehemu ya nje ya paketi ya kondom kuhakikisha tarehe haijafika. Kama tarehe imeishafika na kupita, tumia kondom nyingine. Fikicha kwa upole paketi ili kuhakikisha majimaji yaliyomo yanasambaa kote kwenye kondom. Fungua paketi kwa uangalifu kwenye sehemu yenye makucha kama msumeno, ili kuhakikisha kondom haiharibiki. Usitumie makucha au meno kufungua paketi kwa sababu yanaweza kuchana kondom. Unapogusa kondom, iwe na utelezi kidogo. Kama kondom haina utelezi, imeharibika, kwa hiyo usiitumie. Sehemu ya nje ya kondom huwa na majimaji...

Faida ya Mwanamke Mwenye Makalio Makubwa Wakati wa Tendo.

Image
1.Makalio makubwa hunisaidia kujua kama mwenzi wangu amefika orgasm, mfano ikitokeana hit Doggie basi wakati wa orgasm (most of girls) makalio huwayanatikikisa (twitch, fasciculate ) ambayo huwa inaambatanana miguno ya kimhaba inayo fifia ambayo kabla ya hapo huwa ya sautikubwa… hii unifanya nijue what to next kumzidishia utamu zaidi. Hii kitu inukuwa ngumu kunotice kwa msichana ambaye nimwembamba just have to relay from other signs 2. Makalio makubwa huwa yananifanifanya iwe rahisi kwangu kuyashika (grab) especially wakati wa doggie.ikizingatia gym imekubali na kifua na mabega yametanuka ( shoulder to shouler distance ni kubwa). itaniwia ngumu sana kama msichana an mwili mdogo na makalio yake pia 3. msichana mwenye makalio makubwa obvious atakuwa na nyama nyama kwenye mapaja hii nyama nyama zinakuwa na act kama chock absober na kucushion ile hiting force ,especially when adrenaline na sympathetic flow is at peak and s3x is becoming hardcore, katika situation hiii , kimbau mbau ...

Dalili zitakazokuonesha mwanamke uliyenaye atakusaidia kuleta mafanikio

Image
Katika moja ya Interview ambayo Barack Obama alifanya na jarida la “Black Enterprise Magazine” la nchini Marekani, muandishi alimuuliza kuhusiana na hali ya uchumi ya Marekani. Aliulizwa, “Bwana Obama, Je una hofu juu ya hali ya uchumi wa Marekani inavyoenda?” Ambapo Obama alijibu, “Hapana, sihofii uchumi wa Marekani, nina hofu na mke wangu..kwa sababu ana idea nyingi kichwani mwake mpaka nashangaa” Hivyo, kama unae mwanamke anaekutia moyo ufanye vizuri zaidi. Huyo mwanamke ni keeper, kama hujamuoa, basi anastahili pete kidoleni kwake. Hapa chini nimeelezea njia  zitakazokuonesha kwamba Girlfriend wako anafaa kuwa mke kukusaidia ndoto za mafanikio na ndoa imara! 1. Anavaa kimafanikio (she dresses for Success, not to Seduce) Kama kitu ambacho kinawatofautisha wanawake wenye mafanikio na wengine ni mavazi wanayovaa. Wanawake wasio na focus huvaa mavazi ya kushawishi, lakini wanawake walio focused huvaa nguo za heshima. Wanawake wote wenye mafanikio kwa jitihada zao halali...

Hizi Ndio Sababu Zinazowafanya Wanaume Kufa Mapema Kabla ya Wanawake.

Image
Utakubaliana na mimi kwamba wanaume wengi walioko kwenye ndoa wanakufa mapema na kuwaacha wake zao, ingawa swali linabaki kuwa ni kwanini? Zifuatazo ni sababu 5 za wanaume wengi walioko kwenye ndoa kufa mapema na kuwaacha wake zao. 1. Ugumu katika kufunguka. Utakubaliana na mimi kwamba wanaume ni wagumu sana ten asana kufunguka na kushirikisha mambo yao, wao wako tayari wafe na tai shingoni wakijifanya hawaumii au hawasikii shida. Mkiwa na ishu kwenye ndo mkaitwa sehemu muyaongee yeye kamwe hamumpati, anakwambia mambo yetu tutasuluhisha wenyewe wakati ndani yanamla na kummaliza. 2. Ugumu katika kusamehe. Kusamehe sio tu kwa faida ya anayesamehewa bali pia kwa afya yaw ewe unayesamehe. Mzigo unaotokana na kusamehe hutuumiza sana mioyo yetu, hata kama mara nyingine tunajifanya hatuna shida yeyote. Unaposamehe unaachilia mzigo mkubwa, wanaume wao ni wagumu sana kusamehe. Wako tayari wakubebe moyoni miaka, na tena watakukumbusha uchungu wao kila wanapokuona. Hii inawala san...

MAMBO YA KUMFANYIA MSICHANA ILI UWEZE KUMTEKA ASIKUACHE HATA KAMA HUJAMTONGOZA

Image
abari yako ndugu msomaji? Natumaini u mzima na mwenye afya njema. 1. KILA siku usisahau kumsifia kwa kumwambia ni kiasi gani alivyo mzuri. Kumbuka kila msichana anapenda kusifiwa hivyo unapomuambia yeye ni mzuri anaona una mthamini kuliko msichana yeyote awaye. 2. Wakati wowote ukipata nafasi muandikie barua au msg kwenye simu mueleze hisia zako kiasi gani unampenda. Kumbuka wasichana hupenda kusikia zaidi kutoka kwa wapenzi wao ni kiasi gani wanapendwa. Haitakiwi iwe tu katika kipindi cha siku ya wapendanao ndio umuoneshe kuwa unampenda. Muoneshe msichana ni kiasi gani yeye ni muhimu sana kwako. 3. Busu la ghafla na kumshika mkono wakati mkitembea pamoja itamfanya yeye kujisikia raha zaidi. Na wakati mwingine msuprise kwa kumtembelea mara kwa mara hi humfanya akuone wewe ni mtu muhimu pale usipokuwa naye karibu na kumfanya kukuhitaji zaidi ukiwa naye mbali. 4. Tambua mahitaji yake. Uwe msaada kwake kipindi ambacho mpenzi wako amekasirika kuwa pale kwa ajili yake na ukimpoo...

JE WAJUA KWANINI WANAUME WENGI WANAPENDA WANAWAKE WENYE MAKALIO MAKUBWA??? SOMA HAPA KUJUA SABABU HIZO

Image
Katika siku za hivi karibuni, tumeshuhudia idadi kubwa ya wanawake wakitumia njia mbalimbali kuhakikisha wanakuwa na makalio makubwa. Wapo ambao wamekuwa wakitumia dawa za Kichina licha ya kuelezwa kuwa zina madhara. Ukijaribu kuzungumza nao, wengi wanasema wanatafuta soko kwa wanaume wakware. Wanaosema hivyo ukiwafuatilia ni wale ambao wamekaa kibiashara zaidi. Yaani wapo sokoni kuwinda wanaume. Lakini sasa inafika wakati kila mmoja anajiuliza, ni kipi kinachowavutia wanaume wengi kwa wanawake waliofungashia ambacho hakipo kwa wanawake wembamba? Tunataka kusema wanawake wenye ‘mizigo’ wana soko kubwa kuliko wembamba? Sitaki kwenda huko kwa leo kwa kuwa kuna makabila ambayo mwanaume mwenye kalio kubwa na mahari yake inakuwa kubwa kuliko mwenye nalo dogo. Ninachotaka kukiweka wazi hapa ni sababu za baadhi ya wanaume kupenda kuingia kwenye uhusiano wa kimapenzi na wanawake waliojazia. Hizi nimezipata baada ya kuongea na baadhi ya wanaume. Kusaka umaarufu/sifa Katika hili i...

Mambo Ambayo Wanaume Wanakosea Wakati wa Kutongoza Mwanamke

Image
1.PAPARA Wanaume wengi tumekuwa na haraka sana tunapokuwa tukitaka kuaproach hali inayomfanya mwanamke akuwekee ugumu.mfano umekutana na dada mzuri mmesalimiana hapo hapo unamuomba namba yake.mjomba hata akikupa ujue utasumbuka sana kumpata coz atakufikiria sana juu ya uharaka wako. 2.KUJIFAKE Wanaume wengi tumekuwa tukijipandisha au kujionyesha tofauti na hali zetu.ukiwa unaaproach jaribu kuwa real.huwezi kumwambia mdada unafanya kazi benki afu uko na techno 3.KUTOSOMA MOOD YA MWANAMKE unapomuaproach mwanamke lazma usome mood yake coz sometime unaweza kutoswa coz hujamsoma mwanamke unamtongozaje mwanamke asubuhi? 4.KUMPONDA UR EX LOVER Mwanamke anakuuliza kwanini uko single,unaanza kumponda ex wako kwa maneno ya kashfa hali kama hii inaweza kumtisha kisaikolojia umtongozae. 5.KULALAMIKA Unamtongoza mwanamke huku unalalamika juu ya mapenzi oooh mara sijawahi kupendwa mjomba hapo unaonyesha udhaifu wako.

JIFUNZE KUMUANDAA MPENZI WAKO MDAU

Image
Tokeo la picha la maandalizi ya tendo la ndoa Shoga baada ya wiki iliyopita kuongelea raha ya mchezo kushangilia, nilipata meseji za kutosha na wengine wakiniambia wamefanyia kazi na kufurahia chakula cha usiku. Shoga mwenzako huwa nafarijika sana kama ninachokufunza hapa unakifanyia kazi na unafurahia, upo somo? Basi baada ya hayo shoga, nikuwekee hapa kile ambacho umekisoma kwa ufupi hapo juu na kutamani ukione kwa urefu. Kama nakuona vile ulivyovuta pumzi shoga wangu mie maana si kwa kutoa macho huko, utasema si wa nchi hii! Ehhheee heeee heeiya shoga, upo? Shoga, asikudanganye mtu siku hizi kila kitu kinataka maandalizi, mfano unapokuwa mjamzito ni vyema ukafanya maandalizi ya kumlea mtoto utakayemzaa. Mnapotaka kuanza ujenzi wa nyumba au kufungua biashara na mumeo, lazima maandalizi yawepo kwani bila kufanya hivyo mtakwama tu. Si kwa hayo tu, hata ukimpata mchumba ili muingie kwenye hatua ya ndoa lazima maandalizi yawepo ndiyo maana kuna kitchen part , send off kisha ndo...

Hizi Ndizo Sababu Za Uke Kutoa Harufu Mbaya

Image
Hizi Ndizo Sababu Za Uke Kutoa Harufu Mbaya Ni matumaini nyote mnaendelea vyema, nami alhamdulillah ala kul Hali naendelea vyema Leo naona ni bora tukazungumzia tatizo la kutokwa na harufu mbaya ukeni maana watu wengi hudhani kuwa na harufu mbaya itokayo ukeni ni matokeo ya uchafu tu na ndio maana wanaume huwachamba wake zao kuwa hawajuhi kujisafisha na kufanya wanawake kuongeza jitihada katika kujisafisha ukeni, leo napenda kuzungumzia tatizo hili linalowasumbua wanawake wengi na kuwaumiza kichwa kutokana na kwamba lina athari kubwa sana kwani hufanya ndoa zao kudumaa N.K. ~Kitaalamu Hali ya mwanamke kutokwa na maji yenye rangi nyeupe au njano ni Hali ya kawaida na sio tatizo Lakini endapo maji yanatoka yapo katika Hali ya ute mzito wenye rangi nyeupe au kahawia na yanatoa harufu kali au kuwasha hapo una tatizo~Majimaji au ute unaoteleza kutoka sehemu za siri ni njia inayowezesha viungo vya uzazi vya mwanamke kujisafisha au kutoa uchafu wa seli zilizokufa na mabaki ya damu ya...

Jamaa Yake Amemwekea Tego, Msichana Yupo Tayari Kunipa Papucha ila Anaogopa Tutanasiana au Ntapata Tatizo

Image
Nimempata dada mmoja mitaa fulani, ni mzuri sana na she is sexy. Kiukweli tumependana nami nilivyomuona tu siku ya kwanza pale ofisini nilimpenda nikaomba tuwe na ukaribu. Tukaanza ukaribu basi juzi juzi hapa nikamwambia mi natamani mambo flani. Yule dada alinikubalia lakini akasema shida kubwa ni kuwa jamaa yake mshirikina alimwekea dawa hivyo tukikutana naweza pata matatizo, anasema watu wa Morogoro/waruguru ndo zao hizo. Sasa hajui atafanyaje maana anasema aliwahi achana na jamaa akawa na mtu mwingine yule jamaa aliyetembea naye alipata matatizo makubwa sana hadi ikabidi yule dada arudi akamwambie Mluguru amwachie jamaa awe salama. Toka kipindi hicho dada amekuwa hana amani anashindwa sasa afanyeje. Aliniambia maneno haya kwa uchungu sana nami nikimwona kiukweli anataka sana nimkandamize yaani hata tukiongea hivi namwona tu jinsi macho yanavyochoka nami mzuka unapanda natamani nimnaniii hivyo hivyo lakini ananikataza anasema coz she loves me hapendi nipate shida. Sasa hapa wa...

SHIDA TATU KUBWA ZA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA AWAPO KWENYE SHUGHULI.

Image
Imezuka tabia ya wanaume wengi kupenda sana wanawake wenye makalio makubwa,siku hadi siku tabia hii inazidi kuwa sugu kwani kwa sasa mwanamke mwenye makalio makubwa yaliyojazia sawasawa huonekana anasoko kuliko wale wenye makalio ya wastani. Licha ya kuwa watu wengi huzimika na wanawake wenye makalio makubwa lakini ukweli upo tofauti kabisa kwani wanawake hawa wamekuwa na kero kadhaa ambazo ni sugu sana,zifuatazo ni kero zao kuu tatu. UNAWEZA  SOMA : *Mwanaume huwa hapati mwanya au nafasi nzuri ya kumwingizia uume na ukafika kunako kwani mara nyingi ukubwa wa makalio huzuia uume kusakua uke kisawasawa hivyo badala ya kupata burudani unakesha ukihangaika kupekenyua tu makalio na kujikuta umemwaga hata bila ya kula mzigo inavyotakiwa. *Wanawake wenye mzigo mkubwa wa makalio huwa wazito na hivyo inakuwa ngumu sana kuwakunja ipasavyo au kumlalia mwanamke kwa juu hivyo mara nyingi wamekuwa wakiwekwa mkao wa kifo cha mende tu wakati zipo staili nyingi na tamu kuliko maelezo ambazo...

Bila Uvumilivu utaacha kila siku, kuwa makini katika hili

Image
Ukiwa mtu wa kuangalia mambo kwa juu juu basi kila kitu kwako kitakuwa kigumu. Kusoma unaweza kuona ni kugumu, kufanya kazi kugumu, hata kusubiri mshahara unaweza kuona ni kugumu. Urahisi kwako unaweza kuwa katika kutumia pesa, pengine  na kula tu. Ila watu waerevu na wenye uvumilivu kwako kila kitu kinaweza kuwa tofauti na wewe. 1. Unachoona kigumu kwao wanahisi si ugumu bali ni changamoto za kuzidisha jitihada na umakini tu. Kwenye mapenzi pia hali haiko tofauti sana. Wale wanao achana kila siku si kama ndiyo wanakosewa sana kuliko wale ambao hawaachani, hapana. Suala ni lile lile tu. 2. Wakati wengine wakiona tofauti zao ni kama changamoto za kusomana tabia na kuamua kuishi kutokana na kila mmoja kumjua mwenzake. Wenzao wanaona suluhisho la yote ni kila mmoja kuwa na maisha yake. Suala la uvumilivu kwao hamna. 3. Hakuna mapenzi duniani yanayoweza kushamiri bila suala hili. Usipokuwa na moyo wa uvumilivu katika mapenzi basi kila mtu utamuona hafai. Utamuona hafai na kil...

KATIKA NDOA KUNA FIMBO NYINGI SANA ZA KUCHAPIANA WEWE UNAIJUWA YAKO..SIKIA HII

Image
jamani mwanamke unapopata kazi unatakiwa kuipenda na kuwa na heshima kazi yako isiwe fimbo ya kuchapia watu.. jamani kuna dada mmoja ameolewa yeye anakazi ya ofisini ameajiriwa mumewe kazi hana yani yule kaka naona hana tu bahati ya kupata kazi japo amesoma mpaka diploma kutokana na maisha kuwa magumu kabla ya kuoa huyu kaka alipata kazi katika kampuni ya ulinzi ambayo ilikuwa inamsaidia anapata hela za kulipa kodi na kufanya mambo yake mengine yule kaka akafanya kazi hapo kwa muda tu ila kipindi cha kati hapa tukagundua kunamabadiliko sana yani kijana anazidi kunawiri alikuwa amepanga chumba kimoja mara akamuomba mama mwenye nyumba yake anataka chumba na sebule kwakuwa kunampangaji mmoja alikuwa anahama kwenye hiyo nyumba na akavilipia, mara tukaona ndani kunaletwa makochi, firji na makapeti mmhhh watu wakaanza kujiuliza jamaa kapandishwa cheo???? siunajua uswahilini tena heeeee mara tukawa tunaona mwanamke anakuja siku za weekend anapika na kupakua na kufanya usafi ndio wa...