FAIDA ZA KUFANYA MAPENZI ASUBUHI



👉 Husaidia kuweka mfumo wa kinga yako vizuri.

👉 Inaongeza hamu ya kufanya mapenzi zaidi.

👉 huimarisha kibofu cha mkojo kwa Wanawake.

👉 Hupunguza shinikizo la damu.

👉 Huhesabika kama moja ya Zoezi.

👉 Hupunguza hatari ya kupata shambulio la moyo.

👉 Hupunguza maumivu ya mwili.

👉 Inaweza kupunguza uwezekano wa kupata kansa ya tezi dume / Prostate Cancer.

👉 Inaboresha hali ya usingizi.

👉 Hupunguza Msongo wa Mawazo.

👉 Hufanya Misuli ya Uume kuwa Imara.

👉  Humfanya Mwanamke ashindwe kutoka nje ya Ndoa (cheating)

Comments

Popular posts from this blog

JINSI YA KUMSHIKA MWANAMKE

Hatua 7 Za Kufuata Iwapo Mpenzi Wako Anakataa Kujibu SMS Zako

UKIINGIA KWENYE NDOA NA MWENYE SIFA HIZI, HUWEZI KUJUTA!